Psalms 17:1

Sala Ya Mtu Asiye Na Hatia

Sala ya Daudi.

1 aSikia, Ee Bwana, kusihi kwangu kwa haki,
sikiliza kilio changu.
Tega sikio kwa ombi langu,
halitoki kwenye midomo ya udanganyifu.
Copyright information for SwhNEN